MBOWE: Jakaya Kikwete Akijiongezea Muda Hatutakubali, Nchi itawaka Moto - MULO ENTERTAINER

Latest

17 Apr 2015

MBOWE: Jakaya Kikwete Akijiongezea Muda Hatutakubali, Nchi itawaka Moto

Kupitia taarifa ya habari ya ITV mbowe anasema hatutakubali kikwete aongezewe muda eti kwa sababu daftari la wapiga kura bado.akasisitiza lazima nchi itawaka moto..

Je una maoni Gani Kuhusu Kauli hiyo ya Mbowe?