Habari Kuhusu Blogger Maarufu Mange Kimambi Kukamatwa na Kutiwa Rumande - MULO ENTERTAINER

Latest

17 Jul 2015

Habari Kuhusu Blogger Maarufu Mange Kimambi Kukamatwa na Kutiwa Rumande

Kutoka Instagram:

Mrekebishatabia: Habari nyingine, blogger maarufu Mange Kimambi amekamatwa na kupelekwa rumande. Watu walikua wakimfuatilia mpaka alipoenda kuchukua fomu ya kugombea viti maalumu jimbo la Ubungo ndipo akakamatwa, Anasubiri Kufikishwa Mahakamani Wakati Wowote. Tutajua zaidi kwanini amekamatwa! 2h

Lemutuz_nation: OK guys so far nimerpoti the TRUTH and FACTS on ishu ya Mange na mpaka sasa kuna Watu wengine maarufu 2 zaidi waliojitokeza kumfungulia mashitaka so sasa wanafikia 4......NOW BADO I AM TRYING TO DIGGEST ALL THESE nilienda Polisi mwenyewe kupata Ukweli na walinipa ruhusa ya kumuona ila sikujisikia kumuona BUT ANYTIME FROM KESHO NITASEMA NENO ON HER ISHU.....kama kawaida I AM THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK hii habari ni my territory so NI WAJIBU WANGU KUTIA NENO AND TRUST ME THAT KESHO I WILL U KNOW TENA ON MY TIME NITAWEKA NENOZZZ so stay tuned!

Lemutuz_nation: Hapa ulikuwa MCHANA Mange alipokwenda kuchukua fomu ya Ubunge WA Kinondoni akiwa na kaka yake kulia Tawi LA CCM Mkwajuni Kinondoni.kumbe Nje kulikuwa na Polisi Mmoja wa Kiume na mwingine wa Kike waliokuwa wakimsubiri na Mtu mwingine anayedhaniwa kuwa ni kutoka Usalama wa Taifa...baada ya kumaliza kuchukua fomu tu akakutana na hawa watu 3 wakamuamuru aongoze Makao Makuu ya Polisi ambako alikaa kwa muda na kuelekea Polisi Osterbay ambako anashikiliwa mpaka sasa...TAYARI WATU WAWILI MAARUFU WAMESHAMFUNGULIA KESI MPAKA SASA SAA TANO KAMILI YA USIKU MWANAMKE MMOJA NA MWANAUME MMOJA MUME WA MTU MAARUFU SANA HAPA MJINI...pia juhudi za kumtoa kwa dhamana zinaendelea kwa nguvu kubwa sana.....BINAFSI BADO SINA LA KUSEMA HOWEVER SOON NITASEMA SOMETHING ABOUT THIS ISHU.....stay tuned! - le Mutuz
Read more at http://websta.me/n/lemutuz_nation#vlitRaJRkJkKTdU5.99