AJALI Picha za mwanzo kutoka nyumbani kwa Marehemu Mchungaji Christopher Mtikila, Mikocheni Dar.. Nimekusogezea hapa.. - MULO ENTERTAINER

Latest

4 Oct 2015

AJALI Picha za mwanzo kutoka nyumbani kwa Marehemu Mchungaji Christopher Mtikila, Mikocheni Dar.. Nimekusogezea hapa..

Kwenye list ya Wanasiasa walioamua kuingia kwenye Mchakato wa Uchaguzi Mkuu Tanzania utakaofanyika October 2015, alikuwepo pia Mwanasiasa Mkongwe, MchungajiChristopher Mtikila ambaye alitangaza kugombea nafasi ya Urais kupitia Chama chaDemocratic Party (DP).
3X6A0257
October 04 2015 taarifa zimetufikia kuhusu msiba wake, Mchungaji Mtikila amefariki baada ya kupata ajali ya gari ndogo eneo la Chalinze akiwa na watu wengine watatu ambao wamepata majeraha.
Tayari ninazo picha kutoka Mikocheni Dar es Salaam, nyumbani kwa MarehemuMchungaji Mtikila.. ndugu, jamaa na watu wengine wameanza kukusanyika kwa ajili ya kuendelea na taratibu nyingine za Msiba.
3X6A0243
3X6A0252
3X6A0264
3X6A0267
3X6A0289
Bendera inapepea nusu mlingoti nyumbani kwa Marehemu Mchungaji Mtikila.. Hii ni Bendera ya Tanganyika.
3X6A0297
3X6A0301
3X6A0308
3X6A0312
3X6A0314
3X6A0322
3X6A0326
3X6A0331
3X6A0338
3X6A0341
3X6A0347
3X6A0348
3X6A0350
3X6A0352
3X6A0354
3X6A0359
3X6A0360
3X6A0365
3X6A0368
Taratibu za Msiba mpaka hatua ya mazishi zote nitakuwa nakusogezea kila zinaponifikia… #RIPMchungaji MTIKILA