Rais wa South Africa Jacob Zuma Acopy na Kupaste Anachofanya Magufuli kwa Tanzania... - MULO ENTERTAINER

Latest

11 Feb 2016

Rais wa South Africa Jacob Zuma Acopy na Kupaste Anachofanya Magufuli kwa Tanzania...

Zuma yupo analihutubia Bunge, amechukua hatua za kukata matumizi ya serikali sawasawa kabisa na alivyofanya Magufuli , mfano safari za nje lazima zizipate kibali, sherehe za kibunge, kusafiri nje na delegation kubwa marufuku na mengine mengi.

Ama kweli Magufuli ni mfano duniani!