Picha za Ngono za Nay wa Mitego zilizosambaa Mitandaoni Zamtoa Machozi Mchumba Wake.... - MULO ENTERTAINER

Latest

9 Feb 2015

Picha za Ngono za Nay wa Mitego zilizosambaa Mitandaoni Zamtoa Machozi Mchumba Wake....


Siku tatu zilizopita picha ambazo anaonekana mwimbaji Nay wa Mitego akiwa na msichana kitandani huku wakiwa nusu utupa wakifanya yao zilisambaa mitandaoni na kuzua sintofahamu kwa mashabiki wake ..

Habari zilizotufikia zinasema mchumba wa Nay anayejulikana kama Siwema nae aliziona picha hizo na kuzua timbwili kubwa mpaka akaondoka nyumbani kwa Nay Usiku wa manane huku akimwachia Nay Mtoto Mchanga...Nay kesho yake ilibidi atumie juhudi kubwa kumweleza mchumba wake mpaka akaelewa kuhusu hizo picha, inasemekana kwa sasa wako vizuri na wanaendelea na maisha baada ya Siwema kuingizwa KING...