Mange Kimambi Aonyesha Uzalendo..Ampigia Kura Diamond Platnumz MTV Awards na Kisha Kusema Haya - MULO ENTERTAINER

Latest

24 Jun 2015

Mange Kimambi Aonyesha Uzalendo..Ampigia Kura Diamond Platnumz MTV Awards na Kisha Kusema Haya

Guys, acheni haya mambo jamani…. Mnaenda too far with this jamani… Tunajiaibisha sana watanzania… Busy kwenye ma insta page ya wanaigeria. English zeneyewe hamjui mnaishia kuchambwa na wanaigeria…

Yani tunazidi onekana mabolizozo….. Jamani kweli mnaenda kujipendekeza kwa wanaigeria hivyo..AIBUUUU

Kuweni wazalendo jamani. Diamond hayuko huko kama Diamond ,He is there carrying our flag. Yuko hapo kama Diamond from Tanzania.

Jamani naomba msome hapo pameandikwaje chini ya jina la Diamond? TANZANIA…

Hivi Diamond kaua mtoto wa nani mpaka tuko tayari kuididmiza nchi yetu sababu yake??? Yani huwezi kudharau maujinga yake ukampigia kura sababu ya Tanzania.AIBUUU

You know what, naipenda Tanzania kwanza so no matter Diamond kafanya nini nimemvotia Diamond mpaka vidole vimeumaaaa….

Na kesho nikiamika namvotiaaa…Bado sijamvotia Davido aiseeeeee…..Sio kwamba simkubali ila sio mbele ya mtanzania mwenzangu…

Hivi Diamond kuna alofanya kubwa sana mpaka tumchukie hivi jamani??? Its true dogo anazingua kishenzi ila sio kiasi cha kumchukia hivi….

Mie naomba tumvotie then awards zikiisha turudi kumchukia……hahahaha. Tena na swaumu itakuwa imekwisha na posti zake na Zari zinaanza tena…hahahahahhahaa.. I enjoy hating on those 2….hahhahahhahahahhahahaah ah……

Ila kusema ukweli sina chuki serious hivyo na Diamond kha!!! Mpaka nikamvotie mnaigeria jamani….Na kwenye best collabo nimepiga kura pia mpaka vidole vimeota suguuuuuuuu…..Hahahaha…

Haya twende na wewe kampigie kura Diamond…… Akishachukua hizo awards ndo turudi kwenye team zetu for now tuungane plsssss….

Yani jamani ni ujingaaaaa, hivi unajua siamini hii kitu ya Diamond, Zari na Wema imekuwa bonge la issue hivi…Dah…..

Im sure management yake watamrekebisha baada ya haya majanga yaliyotokea lately…Ila pls mvotieni..