Nuh Mziwanda Atimkia Kuishi Kwao..Hakai Tena Kwa Shilole...Shilole Afunguka Sababu ... - MULO ENTERTAINER

Latest

21 Jun 2015

Nuh Mziwanda Atimkia Kuishi Kwao..Hakai Tena Kwa Shilole...Shilole Afunguka Sababu ...

Mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani umemfanya msanii wa Bongo Fleva,Nuh Mziwanda kuondoka nyumbani kwa mpenzi ambaye ni msanii,Shilole ili kumpisha mpenzi wake afunge kwani hawajafunga ndoa.

Shilole ameyazungumza hayo wakati akizungumza na Clouds Fm,ratiba yake nzima ya mapishi kwenye mwezi Mtukufu na kusema kuwa mwezi huu wa Ramadhani ameacha kufanya vitu vyote vya starehe na ndiyo maana hata mpenzi wake Nuh ameondoka nyumbani kwake ili asiharibu funga yake.

‘’Nuh ameondoka nyumbani kwangu amerudi kwao ili asiharibu funga yangu,’’alisema Shilole