TETESI: Mwigulu Nchemba Apeta Urais 2015 - MULO ENTERTAINER

Latest

10 Jul 2015

TETESI: Mwigulu Nchemba Apeta Urais 2015

Breaking news kutoka Dodoma....

Katika hali ya kushangaza,mwigulu nchemba ameibuka kuwa kinara kati ya watangaza nia wote wa urais...

Ubora wake umechochewa na uadilifu wake ndani ya chama na serikali,ambapo hkn mazingira yyt yanayomzungumzia mwigulu nchemba juu ya ubadhirifu ama utendaji mbovu ktk ngazi alizowahi shikilia.
Mwigulu nchemba amekua bora na wa mfano ktk kujenga hoja makini zenye kujenga taifa na chama kwa ujumla,ni mtu mwenye uthubutu,jasiri anayesimamia maamuzi yake yaliyo makini,ni mkweli,mpenda haki na mtulivu pia mwenye hekima na busara.....

Amejaribu kulinganishwa na wagombea wengine ktk nyanja mbalimbali kama
Uchapakazi,
Uzoefu ktk chama na serikali....hapo ameonekana mwiba haswaa kutokana na nyadhifa kubwa alizotumikia ndn ya chama tena kwa mda mfupi ktk hilo amejikuta akiwapiku mbali wagombea wote...

Uadilifu....bado kete ilionekana ikimwangukia yeye akipambana vikali na jaji ramadhan pmj na mama migiro...

Lingine pia uwezo binafsi wa kisiasa....bado mwigulu alizidi kukimbiza wenzake kutokana na historia yake ya ushiriki wa aina zote za siasa.....

Zaidi ya yote ajenda aliyoibeba imegusa matumaini ya wana ccm wengi kuelekea kwa wananchi ambapo imeonekanika mwigulu nchemba ameeleweka kwa watanzania wengi kwa ajenda yake hivyo ni rahisi kuuzika pasipo na shaka...

Mwigulu nchemba anatafsiriwa kama mtu pekee asiye na makundi ndani ya CCM kiasi ambapo ana uwezo wa kuwaunganisha wana ccm wote kutoka ktk makundi yao...

Kwa ufupi amevishinda vigezo vyote 13 tena kwa kishindo haswaa...

Uhakika wa jambo ulichagizwa na kijembe cha mh rais jana wkt wa hotuba yake bungeni ambapo aliwashukuru viongozi wote aliofanya nao kazi akiwemo Edward lowasa,
Mara tu baada ya kutaja jina la lowasa JK akamalizia kwa kwa kusema mpo wengi sana na wengine ni vigogo.....tusinuniane kwa watakaokatwa....

Hapa Dodoma watu hawaamini kiasi ilianza kusikika jana baadhi ya wagombea wameanza kukata tamaa kutaka kujitoa...