Haya Ndio Majibu ya Diamond Platnumz Kuhusu ishu ya Mtoto Kupimwa DNA… - MULO ENTERTAINER

Latest

18 Aug 2015

Haya Ndio Majibu ya Diamond Platnumz Kuhusu ishu ya Mtoto Kupimwa DNA…

Kumekuwa na stori ambayo imechukua sana headlines kuanzia mitandaoni mpaka kwenye Magazeti inayomhusu Diamond, Zari na mtoto wao.

Diamond amepatikana na kutolea majibu ishu hiyo, barua ya kudai mtoto wake akapimwe DNA bado haijamfikia na kama ni ishu ya Kisheria inayohusu Mahakama amesema ingepitia kwa Wakili au Mwanasheria na sio kupitia Mitandaoni.

Kingine amesema kwamba Zari hajawahi kuolewa na wao wameamua kuishi maisha yao na hawezi kufuatilia maisha ya mtu wala wao kufuatilia maisha ya watu.


TOA MAONI YAKO HAPA CHINI