Lowassa: Nitamtoa Babu Seya Gerezani - MULO ENTERTAINER

Latest

19 Aug 2015

Lowassa: Nitamtoa Babu Seya Gerezani

Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.

Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?

Lowassa ataleta mgongano wa kidola.



TOA MAONI YAKO HAPA CHINI