Maeneo ya Moshi mjini umeme umekatwa tangia saa 3 asubuhi. Umeme umekatwa jijini Dar es salaam, na maeneo mengi nchini.
Yote Hii ni hujuma na mwendelezo ule ule wa kuinyonga demokrasia na kuwafanya watanzania kuwa watumwa miaka yote....
Je Kukatwa Huku kwa Umeme Kuna Mahusiano yoyote na Ufunguzi wa Kampeni za Ukawa Jagwani?
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Yote Hii ni hujuma na mwendelezo ule ule wa kuinyonga demokrasia na kuwafanya watanzania kuwa watumwa miaka yote....
Je Kukatwa Huku kwa Umeme Kuna Mahusiano yoyote na Ufunguzi wa Kampeni za Ukawa Jagwani?
