Mwigizaji Batuli Afunguka Kuhusu Kuzulimiwa na Ray Kwenye Movies Mpya ya Bosi Mfupi..Warushiana Maneno Insta - MULO ENTERTAINER

Latest

3 Feb 2016

Mwigizaji Batuli Afunguka Kuhusu Kuzulimiwa na Ray Kwenye Movies Mpya ya Bosi Mfupi..Warushiana Maneno Insta

Waigizaji Batuli na Ray ni kama wana bifu la chini chini baada ya kurushiana maneno Instagram
Picha ilianza pale Lemutuz alivyoshare Tangazo la Movie yao mpya iitwayo tajiri mfupi kwenye page yake ya Instagram ambapo Mwigizaji Batuli Aliandika kwenye picha hiyo maneno yafuatayo