Zitto Aanza Vita ya Wazi Dhidi ya Rais Magufuli - MULO ENTERTAINER

Latest

7 Feb 2016

Zitto Aanza Vita ya Wazi Dhidi ya Rais Magufuli


Sasa ni wazi kuwa Zitto kaanza rasmi kumshambulia Rais Magufuli, ukiangalia trend ya tweet zake za hivi karibuni ameaonekana kukosoa juhudi za Rais Magufuli tofauti na ilivyokuwa kipindi cha nyuma kidogo.

Mfano wa tweet zake na zingine ameaonekana kucopy kwa JK:

"@JrMalcolm88 @MariaSTsehai @Mkandara Rais ana historia ya kuingiza Taifa hasara. Mmesahau Meli ya Samaki? Mmesahau petrol station Mwanza?"

17m17 minutes ago
Zitto Kabwe Ruyagwa ‏@zittokabwe
@MariaSTsehai @jmkikwete Rais anasema watu ready handed wafungwe hapohapo? Hamjui nyie kuna watu hubambikiwa kesi mitaani? Tuwe makini sana