Jamie Vardy Aendelea Kubaki Leicester City - MULO ENTERTAINER

Latest

24 Jun 2016

Jamie Vardy Aendelea Kubaki Leicester City

Leicester imesema kuwa mchezaji huyo wa miaka 29 ambaye mabao yake yameisaidia klabu hiyo kushinda taji la ligi ya Uingereza msimu uliopita ameongeza mkataba wa miaka minne na klabu hiyo.
Aidha, uamuzi wa mchezaji huyo utafuta uvumi wa hivi karibuni kuhusu Jamie Vardy kuachana na klabu hiyo na kwenda Arsenal.

Vardy alitarajiwa kununuliwa na klabu ya Arsenal kwa kitita cha pauni milioni 20 kabla ya kuanza kwa michuano ya Euro 2016.