Zari Hassan Amsifia Mama Yake, Asema Sio Mswahili na Mwenye Hekima... - MULO ENTERTAINER

Latest

17 Jul 2016

Zari Hassan Amsifia Mama Yake, Asema Sio Mswahili na Mwenye Hekima...

Lile timbwili la madale bado linaendelea kuwaka moto , hivi karibuni mzazi mwenzie na Diamond, Zari Hassan amepost picha akiwa na mama yake mzazi huku akimwagia sifa kemkem kuwa Mama yake huyo ana tabia nzuri ,ana hekima na kumfananisha na queen ,kitendo hicho kimetafsiriwa na wapenda ubuyu mjini kuwa zari alimrushia dongo mama wa mzazi mwenzie Diamond ambaye amekua na sifa ya kuwa mkorofi,mshari na asiyependa amani na mkwe wake huyo mtarajiwa

Ameandika hivi:

Zarithebosslady
She was born and raised like a Queen, acts like a Queen, behaves like a Queen, slays like a Queen, moves gracefully like a Queen. Even If she knows she ain't a Royal deep down she is one. Slay Queen, Mama Africa Mrs Halima Hassan