Unaambiwa Asilimia 61 ya Wanaomaliza Elimu ya Juu Tanzania ni Bongo lala...Wanauwezo Mdogo - MULO ENTERTAINER

Latest

9 Aug 2016

Unaambiwa Asilimia 61 ya Wanaomaliza Elimu ya Juu Tanzania ni Bongo lala...Wanauwezo Mdogo

UTAFITI: Asilimia 61 ya wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu wana uwezo mdogo, hawawezi kushindana katika soko la ajira nchini.
Kulingana na utafiti huo imegundulika kuwa vyuo Vikuu vingi vimekuwa haviangalii ubora isipokuwa hufanya Biashara tu.

Je ni Kweli ?