PICHA: Wasichana 21 Waliokuwa Wametekwa na Boko Haram Walivyokutana na Familia zao - MULO ENTERTAINER

Latest

18 Oct 2016

PICHA: Wasichana 21 Waliokuwa Wametekwa na Boko Haram Walivyokutana na Familia zao

Aprili 2014 zaidi ya wasichana 270 walitekwa wakiwa shuleni katika mji wa Chibok na wapiganaji wa Boko Haram, mpaka leo ikiwa ni baada ya zaidi ya miaka miwili tangu kutekwa kwa wasichana hao, Alhamisi ya October 13, 2016  ziliripotiwa taarifa za kuachiwa kwa baadhi ya wasichana hao na kurejeshwa baada ya mazungumzo kati ya viongozi wa serikali ya Nigeria na viongozi wa Boko Haram.

Leo October 17 2016 Wasichana 21 wa Chibok hatimaye wamekutana na familia zao