Zitto: Nitaungana na Vyama vya Upinzani Kumsimamisha Mgombea Mmoja wa Urais 2020 - MULO ENTERTAINER

Latest

7 Apr 2017

Zitto: Nitaungana na Vyama vya Upinzani Kumsimamisha Mgombea Mmoja wa Urais 2020

Kiongozi mkuu wa chama cha ACT wazalendokatika mahojiano maalum amesema mwaka 2020 kuwa hajapiga hesabu zakugombea urais amesema atakaa na vyama vya upinzani na kumsimamisha mgombea mmoja, mgombea huyo anaweza akatoka chama chochote kati ya Chadema, CUF,NCCR Mageuzi au ACT.

Alipoulizwa kama anaukubali UKAWA kama muungano thabiti amesema wataunda umoja mwingine kwa sababu ule ulikuwa ni kwa ajili ya mambo ya katiba.

My Take: Zitto naona amefanya busara, upinzani inabidi wafikirie namna yakuungana upya, maana kumekuwa na vijana wake wa ACT wazalendo wanapiga siasa za maji taka kwa upinzani wenzao hadi unashangaa kama lengolao ni nini

Video: