Dini & Imani>>Mchungaji Afa Maji Baada ya Kuwaambia Waumini Wake Anaweza tembea Juu ya Maji Kama Yesu - MULO ENTERTAINER

Latest

11 Jan 2015

Dini & Imani>>Mchungaji Afa Maji Baada ya Kuwaambia Waumini Wake Anaweza tembea Juu ya Maji Kama Yesu

Kutembea juu ya Maji si Kitu cha Mchezo Jamani , Sio kila mtu anaweza kufanya hivyo kama alivyofanya Yesu .

Mchungaji Franck Kabele wa huko Nigeria Aliwaambia waumini wake kwamba anauwezo wa kutembea juu ya maji na asizame kama Yesu.

Siku moja aliwachukua waumini wake hadi Beach ambapo alitaka washuhudie muujiza weka wa Imani , ila baada tu ya kuingiza mguu mmoja kwenye maji akazama na kisha kupotelea kabisa katika maji na kufariki .

Hili si tukio la kwanza chini humo kwa wachungaji kujifanya wanaweza kutembea juu ya maji na kisha kupoteza maisha.