Tuache ushabiki Jamani Huyu Dada Tumpe Hongera yake... Ubunifu Wake Nimeupenda..Mitandao ya Kijamii leo ni Zari Zari - MULO ENTERTAINER

Latest

1 May 2015

Tuache ushabiki Jamani Huyu Dada Tumpe Hongera yake... Ubunifu Wake Nimeupenda..Mitandao ya Kijamii leo ni Zari Zari

Mrekebisha Tabia Ameandika Hivi:
Huyu dada nimempend a mnoo!! Kwenye suala la kutafuta pesa...tumpe hongera yake! Ubunifu nimeupenda...Akipata fursa anaitumia kisawasawa...Zari White Party ni idea yake na alivyoshirikiana na management ya Diamond imekuwa tamu sana, itakuwa wametoa pesa nyingi sana kuandaa lkn wameingiza pesa nyingi pia maana wamepata wadhamini wa kutosha...hapo hata wakigawa baadhi ya tickets bure sion shida kuhusu hili.

Hapa nataman na mastaa wetu waige mfano au wamzidi kwa kufanya kitu cha maana na cha maendeleo....inawezekana!!! Tatizo langu ni moja tu!! Why mtu umtukane mtanzania mwenzako na kuunda magroup ya kudhalilisha eti kisa ni Zari...hatuwezi kumsapoti mtu mpaka mwingine atukanwe kwanza?

Watanzania tuacheni hizo, tunazidiwa na watu wa nchi nyingine. Sijui nani katuroga!!!


Patrick Gondwe Ameandika Hivi :

"Zari:huyu mdada kupitia perceptions za media nilikuwa nikiamini ni chakaramu tu kama akina ...... lkn baada ya interview nimekuwa na mtazamo tofauti.... kumbe huyu ndie aliemfaa diamond haswaa.... kichwani ni 3D huyu.... namna anavyozungumzia investments pengine ndilo lilikuwa jawabu kubwa alilokuwa akilitafuta mtoto wa mbagala.... tena huyu alipaswa kuwa meneja wake kabisa"

My Take.......

She is really a lady Boss.....Proved....