Wagombea Ubunge Tarime Wakamatwa Kwa Kutengeneza Kura FEKI - MULO ENTERTAINER

Latest

2 Aug 2015

Wagombea Ubunge Tarime Wakamatwa Kwa Kutengeneza Kura FEKI



Uchaguzi wa kura za maoni kupitia CCM katika jimbo la Tarime Mjini na Vijijini umeahirishwa hadi kesho baada ya kukamatwa makaratasi maalum ya kupigia kura (kura feki ) zaidi ya elfu 20 zikiwa na majina ya wagombea, Nyambare Nyangwine na Gaudencia Kabaka yakiwa tayari yameshawekewa alama ya NDIO kuonesha kura zimekubaliwa