Je Unataka Kuhama Chama na Kumuunga Mkono Magufuli? Basi Hii Inakuhusu...Magufuli For Public Interest (M4PI) - MULO ENTERTAINER

Latest

8 Oct 2015

Je Unataka Kuhama Chama na Kumuunga Mkono Magufuli? Basi Hii Inakuhusu...Magufuli For Public Interest (M4PI)









MAGUFULI FOR PUBLI INTEREST "M4PI" ni kikundi kisichofungamana na chama chochote katika mchakato huu wa uchaguzi. Lengo lao ni kuhakikisha wanawaongoza watu mbalimbali wanaotaka kuhama vyama vyao na kumuunga mkono Dkt. Magufuli. Wanafanya kaazi ya kuhakikisha mgombea ambaye atasimamia maslahi ya umma ndiye anakuwa mshindi katika uchaguzi huu.


Baada ya wananchi kusikiliza na kuchambua Sera na mikakati ya wagombea mbali mbali. Wanachama kutoka vyama vya upinzani ikiwemo CHADEMA, CUF, NCCR, UDP... wameamua kurudisha kadi zao na kumuunga mkono Dkt. Magufuli. Viongozi wa vikundi vya M4U na Friends of Lowasa mwanza wametangaza ramsi kujuinga na Team Hapa kazi tu. Viongozi hao wamesema kuwa wamepewa ahadi Hewa nyingi, kwa masalahi ya taifa wameamua kumuunga mkono Dkt. Magufuli na kuwa wanaimani nae...

Viongozi Taifa wa Magufuli for Public Interest/MAGUFULI KWA MASLAHI YA UMMA  (M4PI) ,ni JACQUELINE MZINDAKAYA na DONATUS RUTAGIMBWA