Benard Membe “Kilichotokea Zanzibar Kimeihuzunisha Dunia” - MULO ENTERTAINER

Latest

23 Jan 2016

Benard Membe “Kilichotokea Zanzibar Kimeihuzunisha Dunia”

Kilichotokea Zanzibar kimeihuzunisha dunia,” amesema Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. “Watanzania waelewe, kilichoishitua dunia ni kule kufuta matokeo kwa ujumla wake. Yaani majimbo yote hakuna hata moja lililofanya vizuri? Hapa ndipo tunapata kigugumizi. Sasa tunakwenda wapi, tunafanya kitu gani?
Wanaoungana na Mh. Membe wacomment neno 'YES' na wanaompinga waseme 'NO'