Mzungu Mikononi Mwa Polisi Baada ya Kutaka Kuikimbia Familia yake na Kuitelekeza Hotelini Jijini Dar... - MULO ENTERTAINER

Latest

23 Jan 2016

Mzungu Mikononi Mwa Polisi Baada ya Kutaka Kuikimbia Familia yake na Kuitelekeza Hotelini Jijini Dar...

Raia wa Ujerumani akiwa mikononi mwa polisi kwa tuhuma za kutaka kuitoroka familia yake katika Hoteli moja jijini Dsm baada ya kutoelewana na mke wake mwenye asili ya Afrika. Raia huyo alikuwa nchini kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka. Alijaribu kumtoroka mkewe akimwachia deni la hoteli la sh. 315,000 pamoja na watoto.

Kama Mwanaume, hili unalichukuliaje?