Video: Shilole na Nuh Mziwanda walivyokutanishwa kwenye kipindi cha Clouds Tv bila kujijua - MULO ENTERTAINER

Latest

18 Jan 2016

Video: Shilole na Nuh Mziwanda walivyokutanishwa kwenye kipindi cha Clouds Tv bila kujijua

Weekend iliyopita kipindi cha D’Weekend Chat Show cha Clouds TV kilijaribu kuwakutanisha Shilole na aliyekuwa boyfriend wake, Nuh Mziwanda kwa lengo la kutaka kuwapatanisha.

Jitihada za kuwakutanisha studio (bila wao kufahamu) zilifanikiwa, lakini lengo la kutaka kuwapatanisha liligonga mwamba, na Shilole alionekana kuchukizwa na kitendo cha kukutanishwa na ex wake bila mwenyewe kuridhia, huku Nuh alionekana kuwa tayari kile kilichokusudiwa kufanywa.

Tazama hapa kama hukupata nafasi ya kuona kipindi hicho: