- MULO ENTERTAINER

Latest

3 Feb 2016

Febr 03 2016 nakukutanisha na Soudy Brown kwenye U heard ya Clouds fm ambapo leo anazungumzia ishu ya Mbongo Fleva Nay wa Mitego kufuatia mistari yake kwenye baadhi ya nyimbo kuwadiss Wasanii wa Bongo Movie na sasa wanataka kumpeleka Mahakamani.

Full stori ipo kwenye hii sauti hapa chini;