Mke wa Dr Slaa Atupia Picha Mtandaoni Wakiwa na Dr Slaa Wakisoma Magazeti - MULO ENTERTAINER

Latest

5 Feb 2016

Mke wa Dr Slaa Atupia Picha Mtandaoni Wakiwa na Dr Slaa Wakisoma Magazeti


Baada ya Kimya Kingi Mke wa Dr Slaa Josephine Mushumbusi Ameamua Kutoa Picha Kwenye Mtandao wa Facebook Akiwa na Dr Slaa na Kuandika "Tupo Tunasoma Magazeti"

Baadhi ya Komenti Toka kwa Wadau wao;

Kapalatu Salim
Mungu hamtupi mtu mwenye dhamila ya kweli hawezi shindwa hawezi kata tamaa. Maneno hayo aliniambi ZZK miaka mitatu iliyopita. So simama katika kupigania haki wazalendo tupo nyuma yako. Mungu atawalinda sana

Aaron Mwakajonga 
huyo nae ni jipu

Telesphory Masalu 
Hongereni sana kwa misimamo yenu ya dhati iliyokataa kuyumbishwa na fedha za Mafisadi.Dr Slaa will remain my role model forever.

Amani Magingi 
Bado nashindwa kukuellewa mamaa mushumbusi... hakika sikuelwwiii hivi kweli ulimtupia virago dr???? Kwelii kabisaaaa??? Yaaan bado sielewiii dr.was my role modal... lkn kwa yaliyotokea.... daaah sijui lini tz itapata ukombozi

Meshack Samweli
Mungu atawalipa hapahpa duniani kama mliwasalit watanzania mie sjui ipo sku ukwel utajulikana


Bryton Myrium Chadema
 mama ni kweli ulitumia nyumba ya dr slaa kumuombea mkopo jamaa mwingine sory kama nimekosea kuulliza