Wolper Atendwa Tena?, ‘Wakati Mwingine Unaweza Ukajiona Umempata Kumbe Umepatikana’ - MULO ENTERTAINER

Latest

6 Feb 2016

Wolper Atendwa Tena?, ‘Wakati Mwingine Unaweza Ukajiona Umempata Kumbe Umepatikana’

Staa wa filamu Jacqueline Wolper ameibua maswali mengi kwa mashabiki wake wa filamu katika mitandao ya kijamii baada ya kuandika ujumbe unao onyesha huenda ametendwa katika mapenzi.

Muigizaji huyo ambaye mwisho wa mwaka jana (2015) alimtambulisha mpenzi wake mpya kwa mashabiki wake baada ya kuvalishwa pete, Ijumaa hii ameweka wazi yale yanayomsibu moyoni hali iliyowafanya mashabiki wake watafsiri ametendwa.

Kupidia instagram, Wolper ameandika:

"Maisha yana mitihani migumu saana wakati mwingine unaweza kujiona umempata kumbe umepatikana. Unaweza hata kukufuru Mungu lakini kuna kale kausemi kanachosema tunajifunza kutokana namakosa me nimeanza kuzingatia misemo baada yakukua mkubwa.
Unaweza ukahsi unaishi na mjusi kumbe unaishi na nyoka mwenye sumu kali akikung’ata auponi ewwwe Mungu nipe nguvu eewe Mungu wangu nitoe upofu eewe Mungu washa taa kwenye giza nene nililopo ili nipate muangaza"

Haya ni maoni ya mashabiki wake wa instagram

kate_brown538
Ushaachwa ivo ba pete kidolen hamna kiruuu, nenda kwa mond

zai2n1804
Asante Dada @wolperstylish kwa ujumbe wako mzuri japo wengi wamehisi tofauti kutokana na maneno uloyasema hapo juu ila Mimi nimeelewa vizuri sana thanks again coz nimejifunza kitu kutokana na ujumbe wako barikiwa sana

chegya_boy_
Pole sana my mungu yupo yote mapito IPO siku mungu atakuonesha chaguo llako xo omba mungu