Ali Kiba na Gigy Money Wazama Katika Mahaba Motomoto..Team Kiba Wapanick - MULO ENTERTAINER

Latest

31 Mar 2016

Ali Kiba na Gigy Money Wazama Katika Mahaba Motomoto..Team Kiba Wapanick

Story ya town kwa celeb wa Tz na kuwepo kwa uhusiano wa kimya kimya kati ya ali kiba na gigy money bado haijathibika japo Gigy money alipohojiwa na clouds fm kasema hajapewa ruhusa na Ali kiba kuongelea uhusiano wao kwa sasa na hawezi kuongelea kwa sasa na uko insta amewarushia kijembe mashabiki wa kiba na kuwauliza kwan kiba sio mwanaume baada ya team kiba kupanick na mapovu kuwatoka.

Story hii inakuja miezi kadha baada ya Gigy kumlalamikia Jokate kumuibia Ali kiba na ikumbukwe ivi sasa Jokate hawapo kwny terms nzuri na King Kiba