Hii ni kuhusu Collabo mpya yake Diamond Plutnum na P Squre. - MULO ENTERTAINER

Latest

24 Jun 2016

Hii ni kuhusu Collabo mpya yake Diamond Plutnum na P Squre.



Diamond amefunguka kuwa hivi karibuni ataachia ngoma mpya kabisa yake akiwashirikisha
 P SQURE. Hii ni baada ya kuachia ngoma mpya aliyoshirikishwa na Hayati Papa Wemba (RIP), hivyo basi tutarajie kitu kizuri kabisa kutoka kwa huyu msanii mkubwa Africa Mashariki na Africa kwa ujumla.