Diamond:Sio Kila Rafiki Yangu Basi Anatembea na Dada Yangu - MULO ENTERTAINER

Latest

4 Aug 2016

Diamond:Sio Kila Rafiki Yangu Basi Anatembea na Dada Yangu

Jana wakati akitolea ufafanuzi suala la yeye kuchepeka Hamisa Mobeto,Diamond alisema anashangazwa sana na tabia ya watu kuhusianisha kila rafiki wa dada yake basi yeye anatembea naye huku akienda mbele zaidi na kudai hali iko hivyohivyo sio kila rafiki yake basi anamkaza dada yake
"MAANA KILA MSHIKAJI WANGU MIMI A******* {ANALALA} DADA YANGU" Aliuliza Diamond Platinumz