BARAKA Da Prince Aumbuliwa Vibaya Studio na Msanii Aliyemuibia Nyimbo - MULO ENTERTAINER

Latest

22 Dec 2016

BARAKA Da Prince Aumbuliwa Vibaya Studio na Msanii Aliyemuibia Nyimbo

Baraka da prince aliumbuliwa vibaya kwenye studio za East Africa Radio baada ya kualikwa yeye na msanii waliyekuwa studio moja huko Mwanza, msanii huyo alisema baraka alimuibia nyimbo ya 'Baby sio fine' lakini baraka akabisha, alipozidi kubanwa akawa ana hasira na kutaka kuondoka studio
Ila msanii Mo music ambaye alikuwa na Baraka studio hiyo moja alithibitisha baraka kuwa hiyo nyimbo sio ya kwake Angali VIDEO: