”Niliambiwa niko kwenye orodha ya watu watakaotekwa” – Zitto Kabwe - MULO ENTERTAINER

Latest

9 Sept 2017

”Niliambiwa niko kwenye orodha ya watu watakaotekwa” – Zitto Kabwe

Moja ya stori ambayo imekuwa gumzo na ku-make headlines kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu ishu ya kushambuliwa kwa risasi kwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu September 7, 2017 akiwa nyumbani kwake Dodoma.

Sasa licha ya tukio hilo kuibua hisia za watu mbalimbali, leo Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amefunguka kuhusiana na list iliyotolewa na Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe, na hofa waliyokuwa nayo Wabunge kwa sasa.

VIDEO: