Godbless E.J. Lema
"Africa inapiga kelele dhidi ya matamshi ya ubaguzi ya Donald Trump. Africa kuna matendo ya kibaguzi kuliko matamshi ya Donald Trump na ni sisi kwa sisi,unapotumia nguvu ya dola kuuwa demokrasia na haki,unapotumia nguvu kutesa na kuua wanao kukosoa, huu sio ubaguzi ? Tutafakari" Godbless Lema
"Africa inapiga kelele dhidi ya matamshi ya ubaguzi ya Donald Trump. Africa kuna matendo ya kibaguzi kuliko matamshi ya Donald Trump na ni sisi kwa sisi,unapotumia nguvu ya dola kuuwa demokrasia na haki,unapotumia nguvu kutesa na kuua wanao kukosoa, huu sio ubaguzi ? Tutafakari" Godbless Lema