Lowassa: "Ujumbe wa Magufuli ni kunitaka nirejee CCM, ila nilikataa" - MULO ENTERTAINER

Latest

16 Jan 2018

Lowassa: "Ujumbe wa Magufuli ni kunitaka nirejee CCM, ila nilikataa"


Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amesema ujumbe wa Rais Magufuli kwake alipofanya nae mazungumzo Ikulu, ulikuwa ni kumshawishi arejee CCM suala ambalo hakukubaliana nalo na alimueleza Rais kwamba uamuzi wake wa kukihama chama hicho na kujiunga na CHADEMA haukua wakubahatisha.