16 Feb 2018
New
mulo
Newer Article
Mapya Yaibuka Afisa Aliyeanguka Ghafla Baada ya Kutumbuliwa na Makonda
Mapya zaidi yanayomhusu yule Mkuu wa Idara ya Ardhi, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, Paul Mbembela ambaye mwishoni mwa wiki alianguka baada ya kubanwa maswali na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda yameibuka ambapo siri imefichuka safari yake ya kupelekwa Hospitali ya Rufaa ya Amana imedaiwa iliishia njiani.
MAGUFULI