Breaking News: Rais Magufuli Aridhia Uamuzi wa Kujiudhulu Katibu Mkuu Wake wa CCM Abdulrahman Kinana...... Msanii Keisha Achaguliwa na NEC - MULO ENTERTAINER

Latest

28 May 2018

Breaking News: Rais Magufuli Aridhia Uamuzi wa Kujiudhulu Katibu Mkuu Wake wa CCM Abdulrahman Kinana...... Msanii Keisha Achaguliwa na NEC

Breaking News: Rais Magufuli Aridhia Uamuzi wa Kujiudhulu Katibu Mkuu Wake wa CCM Abdulrahman Kinana...... Msanii Keisha Achaguliwa na NEC
Leo May 28, 2018 Stori iliyotufikia muda huu kutoka kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Polepole imesema kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Magufuli, ameridhia uamuzi wa kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana.