Taarifa iliyotufikia muda huu kutoka mkoani Mwanza ni kuwa Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama huku taarifa zikidai kilikuwa na watu 500 waliokuwemo ndani ya kivuko.
20 Sept 2018
New
Breaking News: Kivuko cha MV Nyerere Kimezama Kikiwa na Abiria Wengi Ziwa Victoria
mulo
Newer Article
Serikali Imefuta Tozo za Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi
Older Article
Atiwa Mbaroni Kwa Kumpa Mimba Binti Yake
Labels:
Breaking News