“Sitosahau Mbudya, Nilikuwa Najua Nimeshakufa” Ben Pol - MULO ENTERTAINER

Latest

13 Oct 2018

“Sitosahau Mbudya, Nilikuwa Najua Nimeshakufa” Ben Pol

Muimbaji Ben Pol amesimulia yaliyowai kumkuta alipopata ajali ya kuzama majini pindi alivyowai kwenda Mbudya kutembea ikiwa ni siku chache toka mtayarishaji wa muziki wa bongofleva Pacho Latino apoteze maisha ambapo amesema kwamba ajali aliyowai kuipata Mbudya ilimfanya asipasahau.

Bonyeza PLAY hapa chini kutazama Video