Baada ya kubwagana na Bushoke, Jini Kabula Amutambulisha Mpenzi Wake Mpya! - MULO ENTERTAINER

Latest

5 Feb 2015

Baada ya kubwagana na Bushoke, Jini Kabula Amutambulisha Mpenzi Wake Mpya!

Udaku Special Blog: Mrembo na mwigizaji wa filamu, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ ambae hivi karibuni aliripotiwa kuachana  na mkali wa Bongo Fleva, Ruta Maxmilian Bushoke ambae alikuwa mpenzi wake wa muda mrefu.



Hivi majuzi Jini Kabula alitupia picha mtandaoni, akiwa na jamaa  katika pozi la kimahaba huku macho yake ameyalegeza  kama inavyo onekana hapo juu, na kuandika maneno  ya kumtambulisha huyo jamaa kuwa ndie mpenzi wake.

With my beiby...morning TANZANIA...” Kabula aliandika.

Mashabiki wake walimpongeza kwa kuweza kumpata mwenza na kutaka PROJECTII iendelee.