Mgawanyo wa Mali Wasababisha Mauaji Bagamoyo, Mke Ataka Mali zote na Watoto, Mume Amchoma Kisu na yeye Kujiua pia - MULO ENTERTAINER

Latest

23 Aug 2015

Mgawanyo wa Mali Wasababisha Mauaji Bagamoyo, Mke Ataka Mali zote na Watoto, Mume Amchoma Kisu na yeye Kujiua pia

Mauaji ya kutisha yametokea Wilaya ya Bagamoyo siku ya leo. Chanzo cha mauaji haya ni kuhusu talaka na mgawanyo wa mali.

Baada ya kwenda BAKWATA kusuluhishwa Mwanamke (Mwenyendoa) alitaka mali zote aandikiwe yeye na sio watoto kama ilivyokuwa...Mwanaume ( Mwenyendoa) alichomoa kisu alichokuwa amekificha kiunoni na kumchoma mkewe na yeye kujichoma kisu cha tumboni na kujiwekea mchanga kwenye utumbo uliokuwa umetoka nje ili asiweze kupona kabisa.

Picha zinatisha ila naweka baadhi zenye maadili.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI