Mke wa Dr Slaa Josephine Mushumbusi Ajibu Kuhusu Tuhuma za Kuomba Mkopo Bank Kwa Kutumia Nyumba ya Slaa - MULO ENTERTAINER

Latest

5 Feb 2016

Mke wa Dr Slaa Josephine Mushumbusi Ajibu Kuhusu Tuhuma za Kuomba Mkopo Bank Kwa Kutumia Nyumba ya Slaa

Mke wa Dr Slaa Amejibishana na Wadau Katika page yake ya Facebook na kujikuta akijibu tuhuma zilizozagaa jana kwenye magazeti kuwa aliomba mkopo wa sh mil 300 kwa kutumia nyumba ya Dr Slaa...

Soma Majibisha yao hapa;

Bryton Myrium Chadema 
"Mama ni kweli ulitumia nyumba ya dr slaa kumuombea mkopo jamaa mwingine sory kama nimekosea kuulliza"


Josephine Mushumbusi
"Sandra Bahati mbaya sana huwa siamini taarifa za magazeti,hivyo huwa hazipotezi mda Wangu sana. Pili hiyo ni taarifa hakuna mahala wamewasiliana na mimi.
Tusubiri,maana najua wapi pa kuwauliza taarifa hizo walizitoa wapi.
Ufupi bado mtu WA kuniumiza hajazaliwa"

Aggrey Charles
"Mama Josephine Mushumbusi kwa nafasi yako nadhani ugeiga hata zuri moja la Lowassa la UKIMYA. Kwani ni lazima ujibu kila kitu mama? Na ukijibu utajibu mangapi? Ushauri wangu kwako tulia kimya ujisomee tu huku mitandaoni siku zisogee. Mimi ni moja ya wafuasi wazuri wa Mh Dr W. SLAA ila si mama (yaani wewe) lakini heshima yenu ipo kwangu siku zote. UKIMYA wako utakuongezea kitu kuliko huku kuja kulumbana na vijana wenye njaa ya kuona kuna kitu kipya kinazaliwa katika nchi. Watu wenye njaa na kiu ya mabadiliko halisi hugombana na yeyote wanayemwona kama kikwazo. Ni Ushauri tu mama".

Josephine Mushumbusi
"Sometimes it is too much.
Nimekuawa kimya sana.
Na nafikiri ni Leo tu nimeonekana hapa.
Lowasa Hana ukimya naomba tusifananishwe"