Wema Sepetu Afunguka na Kuwapa Makavu Laivu Wanaomchagulia vya Kupost Instagram - MULO ENTERTAINER

Latest

2 Jun 2016

Wema Sepetu Afunguka na Kuwapa Makavu Laivu Wanaomchagulia vya Kupost Instagram

By  @wemasepetu -  Quick Question..... Is there a book of rules Ya Instagram inayosema kuna vitu tufanye na tusifanye....!? I dont think so... And kitu ambacho nakiona kutoka Instagram, Watu wanapenda sana fujo fujo, Purukushani, mara huyu na huyu hawaongei, flani kamchukulia flani bwana, yule kafumaniwa... Hicho ndo mnachokiona kina kick... Ila mwisho wa siku ukija kuangalia , IT is TRUE... Maana the world ya leo Only Gossip sells... Ila jamani ifike tym tukue... Mi binafsi kuna vitu vinanichosha... Actually Vimenichosha... Ifike tym kila mtu aangalie maisha yake na afanye kile kinachomridhisha nafsi yake.... Y'all can Judge me mnavyotaka ila mi  kwangu naangalia wat God has to say bout wat im doin... Imekuwa too much tokea nilivyopost uzalendo ikaonekana all sorts of Crazy, But u know wat, I dont care... Sasa basi, nitapost ninachotaka nyie endeleeni kujudge na kuleta conclusion zenu mnazojua... Iwe nataka attention, iwe natafuta kick, iwe nitokeje, iwe najipendekeza, iwe vyovyote It all comes down to me.... Kupost Lipstick vepee...??? Kuna msemo unasemaga Tenda Wema uende zako... Dats how I roll... Na nimekuwa nikifanya hivyo siku zote... Sitegemei na wala sitaki mtu ninae msupport au kumuunga mkono na yeye afanye the same.... Na wala sina haja na kupostiwa....Niwe sipindui au napindua It doesnt make A difference... Kwanza haya mambo ya kupinduana yameanzaga lini Mungu wangu... Ila instagram mna majungu sana... Mi siwezi jamani... Mniachage basi sometimes... Sina amani... Imekuwa kama nimeua... Sio poa bana.... Haiya basi tuishie hapo... Atleast nimeyatoa yangu... Sijakataza mtu kusema anachotaka... Uwanja wenu.... Have a Blessed TBT Wapendwa.....!!!! 💋💋💋 But another quick question before I share this post, Have y'all ever wondered if tungekuwaga hatuna mambo ya majungu majungu tungefika wapi...? Au tungefanya vitu vingapi...? Mambo mangapi mazuri yanatupita jus because of kuendekeza upuuzi usio kuwa na faida... Im Just saying...