VIDEO: Mbunge Aliyetayari Kutaja Wabunge Wanaouza Dawa za Kulevya Tanzania - MULO ENTERTAINER

Latest

7 Feb 2017

VIDEO: Mbunge Aliyetayari Kutaja Wabunge Wanaouza Dawa za Kulevya Tanzania

Mjadala wa Watuhumiwa wa biashara na watumiaji wa dawa za kulevya umeendelea kuchukua nafasi baada ya kuibuliwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.
Mjadala umefika mpaka Bungeni Dodoma na baadhi ya Wabunge waliosikika wakichangia ni pamoja na Mbunge wa Ulanga Goodluck Mlinga aliyesema yupo tayari hata kuwataja baadhi ya wabunge wanaohusika na bishara hiyo.
Tazama hii Video hapa chini akichangia ishu mbalimbali ikiwemo na hiyo: