Lissu Kidume..Aishinda Urais wa TLS kwa Kishindo...!!! - MULO ENTERTAINER

Latest

19 Mar 2017

Lissu Kidume..Aishinda Urais wa TLS kwa Kishindo...!!!


Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu Mapema Hii Leo ameweza kuibuka na ushindi wa kishindo cha Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kwa Kujizolea Asilimia 88 ya Kura Zote.