Hamisa Mobeto Amtumia Ujumbe Huu Aliyekuwa Mpenzi Wake Bosi wa EFM Majay - MULO ENTERTAINER

Latest

10 Sept 2017

Hamisa Mobeto Amtumia Ujumbe Huu Aliyekuwa Mpenzi Wake Bosi wa EFM Majay

Jumamosi hii bosi wa kituo cha EFM, Majay amesherekea siku yake ya kuzaliwa – Hamisa Mobetto ambaye pia ni ex wake hakubaki nyuma kumuandikia ujumbe mzuri.

Kupitia mtandao wa Instagram, mrembo huyo ameandika

  “Happy Birthday Baba Fantasy … Ahsante Kwa kua Baba bora Na zaidi Kwa Mwanetu. M/Mungu Akutunze, Akulinde Na Akuzidishie Maendeleo Tele . Tunakupenda sana & Thank you for always being here πŸ™πŸΎπŸ’• #coparentingatitsfinest @majizzo.”

Majay na Hamisa waliwahi kuwa na mahusiano ambapo walifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kike kabla ya kuachana.