Donald Trump Kufanyiwa Uchunguzi Wa Kiafya ....Akataa Kutangazwa Hadharani Matokeo Yake - MULO ENTERTAINER

Latest

12 Jan 2018

Donald Trump Kufanyiwa Uchunguzi Wa Kiafya ....Akataa Kutangazwa Hadharani Matokeo Yake

Donald Trump Kufanyiwa Uchunguzi Wa Kiafya ....Akataa Kutangazwa Hadharani Matokeo Yake


Donald Trump atafanyiwa uchunguzi wake wa kiafya wa kwanza akiwa rais Ijumaa - ni kipi anakitarajia?

Wakati Trump anatafika katika kituo cha afya cha Walter Reed Medical Center huko Bethesda, Maryland, atakuwa na habari nzuri na mbaya kwa daktari wake.

Hakunywi pombe, na hajawai. Anasema alijifunza kutoka kwa ndugu yake mkubwa Fred ambaye alifariki dunia akiwa na miaka 4.

Pia havuti sigara, "ninawatazama watu wakivuta sigara, alisema mwaka 2015. ni kitu cha kutisha kwangu.

Kwa ufupi daktari wake Harold Bornstein, aliandika kuwa Trump alikuwa katika hali nzuri ya afya.

Licha ya afya ya akili ya Tump kutiliwa shaka, vipimo vya leo haviwezi kuhusu hali yake ya kiakili.

Trump ahitaji kutanga hadharani matokeo yake ya kiafya lakini msemaji wake alisema kuwa daktari wa White Hosue Ronny Jackson, atayasoma

Dr Jackson alitoa taarifa ya kurasa mbili baada ya vipimo vya mwisho vya rais Obama mwezi Machi mwaka 2016.