Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Makampuni ya ASAS, Alhaj Faraj Ahmed Abri, amefariki dunia hii leo Agosti 13, 2021 Jijini Dar es Salaam, na familia yake imeomba waombolezaji wasiende nyumbani na atazikwa hii leo katika Makaburi ya Kisutu.
13 Aug 2021
New
Breaking News: CEO wa ASAS Afariki Dunia.
mulo
Breaking News: CEO wa ASAS Afariki Dunia.Aug 13, 2021
Rais Magufuli aguswa na Vifo vya watu 19 MbeyaFeb 23, 2019
Tanzia: Muigizaji Mama Abdul afariki DuniaJan 25, 2019
Labels:
Taanzia