Mwigulu: Namzimia Sana Zitto -Kuliko Wanasiasa Wote vijana, ila Kwenye urais Anisubiri kwanza. - MULO ENTERTAINER

Latest

20 Jan 2015

Mwigulu: Namzimia Sana Zitto -Kuliko Wanasiasa Wote vijana, ila Kwenye urais Anisubiri kwanza.

Mwigulu Nchemba na Zitto Kabwe Wakiteta Jambo
Mheshimiwa Rais mtarajiwa Mwigulu Nchemba aka KIKWETE WA PILI, jana alipoulizwa na Salama kwenye kipindi cha Mkasi kuhusu mwanasiasa gani kijana anayempenda Tanzania, alimtaja mshirika wake, yule kijana aliyetuhumiwa kushiriki kwenye njama za kukipakazia CHADEMA ugaidi ili kife kabla ya 2014, Mh ZITTO KABWE. Ila akaonya urais asubiri kwanza.

Toa Maoni Yako Kuhusu Wanasiasa Hawa Wawili