Tetesi:Ndoa ya Mh. Lazaro Nyalandu inapumilia Mashine hatihati.... - MULO ENTERTAINER

Latest

20 Jan 2015

Tetesi:Ndoa ya Mh. Lazaro Nyalandu inapumilia Mashine hatihati....

Ndoa ya Lazaro Nyarandu ambaye ni waziri wa Maliasili na Utalii na mrembo Faraja Kota iko 'ICU'

Kwa mujibu wa Mwanafamilia wa Waziri huyo hapa Arusha amehabarisha kuwa wawili hao kwa sasa wametengani sababu ikiwa ni kukosa uaaminifu kwa bwana Lazaro.
Kwa sasa Nyalandu yupo kwenye Hekalu lake Njiro Jijini Arusha na Faraja yupo kwa wazazi wake Dar es salaam.
Nyalandu anatuhumiwa kujirusha na vimada kwenye mahoteli makubwa hasa ya New Africa akiwa Dar es salaam ana hata nje ya Nchi.
Kilichomtia nyongo zaidi ni tuhuma za hivi karibuni kuwa mimba ya Aunty Ezekiel ni yake naame wanaendeleza uhusiano huku wakitaraji mtoto wakati wowote.
Nyalandu kwa sasa anahaha kumtuliza mkewe kwa kila jinsi na leo amemtumia ujumbe kupitiakipindi cha Clouds FM cha Leo tena kuwa anampenda sana na ni tulizo la roho yake.
Pia anahaha kunusuru ndoa yake ili ajiweke vizuri katika nia yake ya kugombea Urais October 2015